Salamu wana JF kwa majukumu , poleni na kazi
Karibuni nataka kushare nanyi hii trick ambayo ukifuatilia kwa makini utaweza kuunlock RAR/ZIP password ..kitu nilichokipenda hapa huitaji kuwa na knowledge yoyote ya coding zaidi ni kujua lugha .. Tusiende mbali sana twende kwenye somo moja kwa moja...
Yaan lazma uende huko CRDB ukajisajili na hyo huduma !
ukishndwa kabxa fuatilia kuna nyuzi nyng sana humu ukienda google andka
site:jamiiforums.Com paypal
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.