Recent content by Kajangwa

  1. K

    PreGE2025 Serikali inapaswa kuchukua hatua madhubuti kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

    Mambo vipi wadau? Kwa jinsi hali ilivyo ya mambo na matukio tunayoendelea kushuhudia hivi katika jamii ni dhahiri kuwa serikali inapaswa kuchukua hatua na tahadhari kubwa kuelekea Uchaguzi wa 2025 la sivyo tunaweza kushuhudia uvunjivu wa amani ambao hatujawahi kuhushuhudia hapo kabla...
  2. K

    Lowassa Rais UKAWA, Mwenza - Slaa, Lipumba - Waziri Mkuu, Zitto naye ndani

    CCM kimechoka hakina radha yoyote kwa watanzania, hatuna budi kukikataa na kukipumzisha ili wazalendo waipeleke nchi mbele. CCM tatizo ina magonjwa sugu ambayo hata ipelekwe Appolo II haiwezi kupona magonjwa hayo; ambayo ni ufisadi, rushwa, ubabe, dharau, matusi, unyanyasaji, ubaguzi na ulevi wa...
Back
Top Bottom