Recent content by kaishebo

  1. K

    Kwanini kila anayeondoka CHADEMA anamtaja Mbowe?

    Mwembe wa babu ulikuwa na mawe mengi chini yake kuliko idadi ya maembe mtini mwisho wa msimu
  2. K

    PreGE2025 Mtifuano CHADEMA: Wakichomoka kwenye hili, 2025 Ikulu yao

    Kuna makundi mawili yenye nguvu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo yanayodaiwa kupishana mitazamo ya namna ya kuendesha siasa kuelekea chaguzi za SM na ule mkuu wa 2025. Kundi la kwanza inaelezwa linaongozwa na Mwenyekiti FAM huku lingine likiongozwa na Makamu M/kiti TAL. Uchunguzi...
  3. K

    Tumsaidie Rais Samia kupata mtu sahihi wa ITIKADI na UENEZI, Weka jina humu JF na toa sababu

    Hawa ndio naona wanafaa kushika nafasi hiyo. Wewe unaona nani anafaa?
  4. K

    PreGE2025 Nani kuwa Mgombea Urais CHADEMA 2025?

    Basi fanyeni mapema, nijipange....niuze kabisa nyumba yangu nipate pesa ya kuhonga wajumbe
  5. K

    PreGE2025 Nani kuwa Mgombea Urais CHADEMA 2025?

    [emoji2][emoji2][emoji2]
  6. K

    PreGE2025 Nani kuwa Mgombea Urais CHADEMA 2025?

    Hapana shaka CCM ni SSH: ACT-Wazalendo ni ZZK: CHAUMMA ni HRS: CHADEMA ni nani? Maoni yangu; -Chadema wange 'vujisha' mgombea wao ili wananchi wamzoee, wampime ....kusudi, ikifika 2025 wasishtukizwe na mgombea ambaye pengine hawamuelewi vizuri tabia na uwezo wake.
  7. K

    Dude limegoma kulala!

    "....... natural misty (wingu zito) blowing to the air, if you listen carefully, you will hear.....
  8. K

    Nani aliyevujisha mkataba wa Bandari na DP World?

    You're right....Secret is for three when two die
  9. K

    Profesa Shivji: Mkataba wa Bandari unaegamia zaidi upande mmoja na hauna ukomo wa muda. Hauwezi kuvunjwa kwa sababu zozote zile

    Kwani kakataa uwekezaji au kaeleza mkataba ulivyo!¿ Tatizo mnapenda kusikia mnayoyataka......ukweli hauna tabia hizo, yaani hauna kona
  10. K

    Halima Mdee na wenzake 18 wakata Rufaa CHADEMA

    Na aliyesaini kiapo na Nusrat Hanje
  11. K

    GE2020 Twende na Bernard Membe, tuunde Serikali ya kazi na bata! Naomba kura zenu

    Kimzaha mzaha, Membe anakuwa Rahisi wa Tz, anampiku Rais Magufuli na rais Lissu!
  12. K

    GE2020 Askofu Gwajima: Anayetakiwa kuchechemea ili CCM tushinde, atachechemea...

    Yule bibi aachwe apumzike, kalitendea makubwa taifa hili. Labda kama jina lake linatumika kwa wema.
Back
Top Bottom