Recent content by kailojonhjo

  1. kailojonhjo

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi: Shattered Evil: Light And Shadow

    SEHEMU YA 5 Jengo refu la Velora Company lilisimama mithili ya mnara wa mamlaka katikati ya jiji. Sakafu ya mwisho, iliyozungukwa na kuta za kioo kilichochongwa kwa ustadi, ilihifadhi utulivu uliokuwa wa kipekee. Hapo ndipo alipokuwapo. Mwanamke ambaye hakuhitaji sauti ya juu kuamrisha, wala...
  2. kailojonhjo

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi: Shattered Evil: Light And Shadow

    SEHEMU YA 4 Ilikua ni siku ya jumamosi jion Jua lilikuwa limeanza kupinduka wakati Liam Carter alisimama mbele ya mlango mkuu wa nyumba yake mpya iliyoko Masaki. Hii ilikuwa ni siku ya kihistoria kwake—siku ya kuhamia rasmi kwenye makazi aliyoyanunua siku chache zilizopita. Nyumba hiyo ilikua...
  3. kailojonhjo

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi: Shattered Evil: Light And Shadow

    SEHEMU YA: 3 Nguvu walizokuwa nazo wale watu waliomvamia Liam zilitokana na kiapo cha kale cha giza kilichoitwa “The Veil of Umbros” — agano la kale la wachache waliotamani nguvu za haraka kwa gharama ya nafsi zao. The Evil Umbros ilikuwa ni mkataba wa kipepo uliosainiwa na roho zao mbele ya...
  4. kailojonhjo

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi: Shattered Evil: Light And Shadow

    Baada ya muda aliweza kufika hotelini alikua amechoka sa mizunguko na pulikushani zilizo tokea siku hiyo hakuitaji kufanya jambo lolote zaidi ya kujipumzisha Ilikua ni Asabuh aliangalia saa ilikua ni mida ya saa5 asubuh Hakuwa na mawasiliano mapya. Simu yake ilikuwa kimya kama hakukua na mtu...
  5. kailojonhjo

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi: Shattered Evil: Light And Shadow

    SEHEMU 2 Liam baada ya kusimama aliskilizia kwa sekunde kadhaa aliudii kitandani na kujisemea ndio kwanza hajamaliza hata siku moja lakini tayari kuna watu wamesha tumwa kushugulika nae Mlango wa chumba 408 ukafunguliwa kimya kimya, kwa kutumia kifaa maalum. Wanaume watatu waliingia...
  6. kailojonhjo

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi: Shattered Evil: Light And Shadow

    SHATTERED EVIL:LIGHT AND SHADOW MTUNZI:KAILOJONHJO.  UTANGULIZI SHATTERED EVIL: LIGHT AND SHADOW Ni simulizi inayochanganya ,mystery, fantasy,mapenzi, ujasusi Miaka ya zamani watu walisifika sana kua na nguvu iyo ilitokana na kua na upeo mkubwa wa akili mpaka...
Back
Top Bottom