Recent content by kahawaone

  1. K

    TFS Yapongezwa kwa Kazi Nzuri ya Ulinzi wa Misitu

    Msitu wa Nongeni upo Eneo la Bigwa Manispaa ya Morogoro wageuka eneo la kuchoma Mkaa na Kuvuna kuni. Limulikwe
  2. K

    Msitu wa Nongeni uliopo Bigwa Manispaa ya Morogoro hatarini kutoweka

    Msitu huo umegeka kuwa Shamba la Kuchoma Mkaa, Kuni na Mipini na hivyo kuhatarisha biodiversity iliyopo Ni eneo pekee lililobakia kwenye Uluguru lenye Low land Miyombo, pia ni nyumbani mwa wanyama Kama nyani, kima, ngedere, mbega, dikidiki hata nyoka na chatu na viumbe wengine. Ni chanzo cha...
Back
Top Bottom