Mimi binafsi naafiki kuwa liundwe. Cha kushangaza ni kuon kuwa Tanzania ndiyo inayolivalia njuga jambo hili. Mbona Kenya na Uganda hawalisemei hata kwenye vyombo vya habari? Mimi naona halifai kuanzishwa maana sijaona umuhimu wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.