Kwakweli yani ila kama wamekosa watu wa kujazia basi watangaze upya kibali si wanacho kuliko kuzoletesha hata hawa ambao tayari ambao wanasubiri wenzao wanze semina ya mafunzo
Poleni sana msiba mzito wa mtumishi mwenzenu kazi ya mungu haina makosa
Hongereni kwa kazi njema mnayoifanya ya kuwapigania watoto wa maskini nao kupata fulsa katika taasisi mbali mbali
Ila hapa TPA mlileta watumishi wapya katika matangazo mawili ya walioitwa kazini ambao ni security guard...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.