Recent content by kadogo2

  1. K

    Hivi Wahaya ndio wana sifa kiasi hiki au huyu ni tapeli tu?

    Daah labda nianze kujifunza kuigiza maana siwezi kuwa chawa wallah
  2. K

    Hivi Wahaya ndio wana sifa kiasi hiki au huyu ni tapeli tu?

    Mimi sijui kama anavyo tumekutana kimjini mjini tu so sijui kuhusu yeye najua anachoniambia tu
  3. K

    Hivi Wahaya ndio wana sifa kiasi hiki au huyu ni tapeli tu?

    Huyu halambii hashindwi kunitangaza
  4. K

    Hivi Wahaya ndio wana sifa kiasi hiki au huyu ni tapeli tu?

    Hivi kumbe wakogo serious kuna mmoja alikuwa ananiganda et niwe mke mdogo halafu msabato.. akasema niende mwanza ananipangia kwangu 😳😳 Ninaogopa mitala.. mitala ije tukiwa tumechoka yaani na umri huu nikawe muke mudogo
  5. K

    Hivi Wahaya ndio wana sifa kiasi hiki au huyu ni tapeli tu?

    Sijamkubali bado ndio nilikuwa najaribu kumsoma
  6. K

    Hivi Wahaya ndio wana sifa kiasi hiki au huyu ni tapeli tu?

    Linaniambia et nikiwa mpnz wake nitaenjoy et sitaomba hela atanimwagia tu Huyu mtu ambae ananitia aibu mpk kwa wahudumu si nitavurugwa nikimkubali
  7. K

    Hivi Wahaya ndio wana sifa kiasi hiki au huyu ni tapeli tu?

    Yaani mtu hujamuuliza anajiongelesha halafu anakuuliza kama akupe kwanini nikatae then aanze tena kuniuliza nakupa kama nani.. utafikiri alivyokuwa ananiambia alikuwa ananiambia kama nani Huyu mtu ana ugonjwa wa Akili wallah 🥹
  8. K

    Hivi Wahaya ndio wana sifa kiasi hiki au huyu ni tapeli tu?

    Shida ni kuwa kwanini aniambie nina kitu fulani ila sikitumii sijui anipe alikuwa ananiambia kama nani na ili iweje Yaani ni upuuzi ni kama mtu mwinginee asingekuwa anaongelea mambo ya vitu anavyomiliki
  9. K

    Hivi Wahaya ndio wana sifa kiasi hiki au huyu ni tapeli tu?

    😂😂 m mambo yasiwe mengi Wewe nipe hizo tips za kumpata msukuma
  10. K

    Hivi Wahaya ndio wana sifa kiasi hiki au huyu ni tapeli tu?

    😂😂 m mambo yasiwe mengi Wewe nipe hizo tips za kumpata msukuma
Back
Top Bottom