Hivi kumbe wakogo serious kuna mmoja alikuwa ananiganda et niwe mke mdogo halafu msabato.. akasema niende mwanza ananipangia kwangu 😳😳
Ninaogopa mitala.. mitala ije tukiwa tumechoka yaani na umri huu nikawe muke mudogo
Yaani mtu hujamuuliza anajiongelesha halafu anakuuliza kama akupe kwanini nikatae then aanze tena kuniuliza nakupa kama nani.. utafikiri alivyokuwa ananiambia alikuwa ananiambia kama nani
Huyu mtu ana ugonjwa wa Akili wallah 🥹
Shida ni kuwa kwanini aniambie nina kitu fulani ila sikitumii sijui anipe alikuwa ananiambia kama nani na ili iweje
Yaani ni upuuzi ni kama mtu mwinginee asingekuwa anaongelea mambo ya vitu anavyomiliki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.