Kuna sehemu mpakani mwa UGANDA na RWANDA kama siyo ISINGIRO district ni NTUNGAMO district kuna sehemu inaitwa MPORORO hapa ndo inasadikiwa kwamba zamani ilikuwepo MPORORO kingdom ambayo ndiyo chimbuko la Bahima kingdom. kipindi cha vita ya Kagera MUSEVENI alikuwa anajificha kwenye pango eneo...
mimi nmezaliwa na kukulia Karagwe mpakani mwa Tanzania na uganda (near Murongo boarder) kandokando ya mto Kagera. hili ni eneo ambalo linakaliwa sana na mchanganyiko wa makabila ya watu kutoka nchi za maziwa makuu yaani Batutsi, bahutu from rwanda, barundi from burundi, banyankole, baganda and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.