Nashukuru kwa majibu MH waziri,Sasa kinachonishangaza haohao polisi wanaochunguza baada ya kwenda kuwauliza pale polisi kati Dodoma nao wamesema wamefuatilia(chunguza) wameshindwa kujua chochote mpaka Leo nini kifanyike.
MH waziri nikupongeze Sana kwa kazi nzuri Sana unayofanya kwa kushuka chin Huku kwenye jamii na kutoa ufafanuzi wa jambo muhimu kama hili unaitendea haki ofisi Yako na jamii kwa ujumla mawaziri wote wangefanya hivi natumai MH rais angefurahi Sana Sasa Mimi Nina jambo Moja nahitaji kidogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.