Recent content by kadendu

  1. kadendu

    Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

    Huyu ni mboga mboga kitambo sema Hana mvuto ndio maana teuzi zinamkwepa
  2. kadendu

    Madai ya Janeth Shayo, Mkazi wa Uru, Moshi, kutosikilizwa

    Nashukuru kwa majibu MH waziri,Sasa kinachonishangaza haohao polisi wanaochunguza baada ya kwenda kuwauliza pale polisi kati Dodoma nao wamesema wamefuatilia(chunguza) wameshindwa kujua chochote mpaka Leo nini kifanyike.
  3. kadendu

    Madai ya Janeth Shayo, Mkazi wa Uru, Moshi, kutosikilizwa

    MH waziri nikupongeze Sana kwa kazi nzuri Sana unayofanya kwa kushuka chin Huku kwenye jamii na kutoa ufafanuzi wa jambo muhimu kama hili unaitendea haki ofisi Yako na jamii kwa ujumla mawaziri wote wangefanya hivi natumai MH rais angefurahi Sana Sasa Mimi Nina jambo Moja nahitaji kidogo...
  4. kadendu

    DOKEZO Barua kwa Camilius Wambura, Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania

    Namuonea huruma Sana mama yake mzazi ni mtu wa kulia Kila siku Hana majibu kutoka jeshi la polisi mpaka leo
  5. kadendu

    DOKEZO Barua kwa Camilius Wambura, Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania

    Anaendaje kozi vyeti vyote kuanzia primary mpaka chuo aliviacha,kadi za benki simu vyote aliacha.
  6. kadendu

    DOKEZO Barua kwa Camilius Wambura, Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania

    Mkuu ubena zomozi barua yangu haijaonwa mpaka Leo mwaka wa nne huu
  7. kadendu

    Moyo wangu huwa unaumia sana nikiona vijana wadogo wakimtukana Rais Samia mtandaoni

    Mkuu majibu yako ya utra sound uliyoyakimbia hayo hapo.
  8. kadendu

    Wengi wanadhani bado tuko kwenye Siasa, ikitamkwa Uhaini hakuna Siasa tena bali Mifumo Yote inaamka!

    Choko wewe mbona mafisadi yamevuna mabilioni hao unaowataja waliufyata
  9. kadendu

    CCM ni Chama pekee Makini Duniani

    Wameshaleta dawa mirembe kachukue
  10. kadendu

    Rais Samia anakuja "kufunika" tena Nanenane Mbeya

    Unakumbushwa tu ewe mtanzagiza bei ya petrol imeongezeka kwa sh 400
  11. kadendu

    Uchapakazi wa Dkt. Tulia wawakosha wana Mbeya, watoa onyo kali kwa atakayechukua fomu kushindana naye

    Kwamba tulia atume kwenye namba uliyoweka hapo Sasa litakuja jina gani?
  12. kadendu

    Ni uwendawazimu na ukichaa kuyaamini maneno yanayotoka katika mdomo wa Tundu Lissu

    Wazazi wako waliuza nguruwe wakapeleka, nguruwe mwingine shule.
Back
Top Bottom