Recent content by kada maarufu

  1. kada maarufu

    Hakuna Taifa lililoendelea kwa kujipendekeza na kujidharau

    Wewe mwenye alili kubwa nani anaisababisha hiyo migogoro? Kwamba ili ujiran uwe mwema jirana ako akileta chokochoko uufyate ili usimuuzi, una akili kweli ww??
  2. kada maarufu

    Hii kasi ya Marekani kujisogeza kwetu baada ya kifo cha Rais Magufuli inatia shaka

    Ndo maana ya msaada, ama sivyo huo sio msaada ni mkopo...
  3. kada maarufu

    Hii kasi ya Marekani kujisogeza kwetu baada ya kifo cha Rais Magufuli inatia shaka

    Ww unaeza hata kubali mkeo alale na boss wako kwakua tu anakusaidia. Mpumbavu sana ww
  4. kada maarufu

    Fatuma Karume: Zanzibar inaidai Tanzania bara 4.6 trillion

    Kuna watu wanasahau kabisa , kuna mambo ya Muungano ambayo serikali ya jamhuri inayagharimia bila mchangonwa zanzibar, kitu kama ulinzi na usalama, zanzibar wana polis na wanajeshi wanaohudumu na wanalipwa na jamhuri, kuna kitu kama bidi ya mikopo inahudumu zanzibar kwa mchango wa serikali ya...
  5. kada maarufu

    Wakosoaji wa Falsafa ya Magufulism katika uhusiano wa kimataifa

    Umesema sahihi na sawa kabisa, wajinga wanawaza uhusiano wa kinyonyaji ukiwauliza wakati hao mabwana zao wakiwa hawafurahishwi na yanayotokea, vp walikosa mishahara?? Mababrabara hayakujengwa?? Miradi ilisimama??ni wapuuzi kuwanyenyekea watu , muhimu ni kubeshimiana na kuhusiana kwa faida za...
  6. kada maarufu

    Dkt. Ndumbaru kumkemea Prof. Assad ni sahihi kabisa kisheria

    Alisema watendaji wa serikali, asad ni mnafiki na mjinga asiyejitambua,katika hili amezid kujivua nguo
  7. kada maarufu

    Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

    Anatosha na zaid, alishiriki hata kuandaa budget na mpango wa maendeleo wa mwaka huu wakati mh.mpango alipokua na ufhuru wa kiafya.. Anafaa na anaijua wizara
  8. kada maarufu

    GE2020 Kampeni meneja wa CCM 2020 ni nani? Nayaona makosa ya kiufundi mengi sana

    Kwamba we unawatakia mema ccm, hauki serious, kawape huo ushauri chadema wenye timu unayoiona we nzuri kuliko ya 2015...
  9. kada maarufu

    GE2020 Tarime: Tundu Lissu ampiga marufuku Kassim Majaliwa kufanya kampeni, Yadaiwa anavunja maadili ya uchaguzi

    Kwamba zitto naenasipige kampeni nje ya dodoma wala mbowe nje ya hai?? Sijaelewa
  10. kada maarufu

    GE2020 Askofu Bagonza: Uchaguzi Mkuu au Utekaji Mkuu au Ujazaji fomu Mkuu?

    Wasijihusishe na kuisifia ccm, vinginevyo ruksa
  11. kada maarufu

    Lissu hapa umetupotosha na kumdanganya Umma

    Hachagui cha kuongea, sijui anawaza nini huyu jamaa, angekuwa hata anachagulika sijui angekuwa Rais wa aina gani..
  12. kada maarufu

    CCM yangu tunazidi kuonesha ushamba! Sio kupigiwa kura tu hata kukihama CCM sasa nipo tayari maana tunachukiwa kweli!

    Mnafiki mkubwa, ccm gani ww, wambie waliokutuma ndo washamba, bavicha mnakuwa kama hamtumii akili
Back
Top Bottom