Nafanya kazi shirika fulani, lakini tatizo limekuja sehemu moja mimi na hawa NSSF,
Mkataba wangu umeisha tarehe 30/2/2016, bahati mbaya niliondoka kwenda kwenda nyumban bado barua za kusimamisha kazi na barua za kuchukulia mafao yangu zilikua hazijakamilika, na kwa kuwa nilikua na haraka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.