Recent content by kabujejr

  1. K

    NETO punguzeni jazba: Tusiingize siasa kwenye elimu, tuache interview iamue nani aajiriwe

    Una uthibitisho Gani kwa unachosema tunaomba evidence
  2. K

    NETO punguzeni jazba: Tusiingize siasa kwenye elimu, tuache interview iamue nani aajiriwe

    Competency ya walimu inaanzia vyuo walivyosoma, shule ngap zina upungufu wa walimu na hawajahajiliwa, NETO wako sahihi katika malalamiko yao sikiliza kwa umakini utaelewa
  3. K

    PreGE2025 Mkuu wa Wilaya ya Tanga akabidhi madaftari 1,000 yenye picha ya Rais Samia. Uchawa umefika kwa watoto wetu!

    JPM alikuwa haitaji haya mambo ufanisi wake wa kazi ulikuwa inajieleza wazi, Yan ilifika hatua upinzani kulikuwa na hoja ya udikiteta tu
  4. K

    PreGE2025 Wasanii wa Bongo movie waliokuwa CHADEMA wahamia CCM

    Tunaomba namba zao za kadi kama walikuwa chadema
  5. K

    PreGE2025 Yupo wapi Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati Devotha Minja? Haonekani kwenye mapokezi ya Lissu

    Kama haujafanya utafiti usingumze Devotha Jana kwenye mapokezi alikuwepo
  6. K

    PreGE2025 Yupo wapi Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati Devotha Minja? Haonekani kwenye mapokezi ya Lissu

    Angalia kipindi anahutubia Rose Mayemba aliyesimama nyuma yake ni nani No research No light to speak
  7. K

    Natamani kuonana na Rais Samia, “face to face and privately”. Nina ujumbe wake, nitamfikiaje?

    Kama waziri anashindwa kuonana na Rais Hadi anakuja front kulalamika, ilo sahau boss
Back
Top Bottom