Sio kweli ..Wahutu kutoka northern Rwanda niwarefu kuzidi hata watutsi..Wahutu kutoka Western part of Rwanda wana pua ndefu na sura nzuri hata zaidi ya watutsi . RDF ilisha ongozwa na mhutu zaidi ya mara Moja,jeshi la polisi lisha ongozwa na mhutu zaidi ya mara Moja..
Jeshi la magereza mpaka Leo...
Una uhakika na unacho kiongea? Una statistics?
Hivi unatofautishaje makabila ya Rwanda.
Unajua jinalsi system ya uongozi wa Rwanda ilivyo.
Mambo ya ukabila yameisha yaliletwa na Baba zenu lakini Kagame ameyamaliza.
Utamtofautishaje mhutu na mtutsi wakati hata kwenye ID hakuna kabila imeandikwa..
Ndio zipo maeneo husika, naweza kufungua blog leo nikapost ninacho ona niukweli kwangu sidhani kama hiyo inaweza kuwa reference kwa mtu atakayesoma nilicho post. lakini articles za wasomi, International communities au serikali ndio hutoa credible sources.
Huu mgogoro uko complex zaidi ya watu...
Basi bwana, naona hatutafikia muafaka ila tu sikila kilichopo kwenye mtandao nikweli, inahitaji credible sources, nasisitiza hakukuwa namukubaliano kama hayo nakama yalikuwepo basi yaweke hapa na source yako yakuaminika, ukifuatilia source ndio utajua kuwa nihabari za mitandaoni tu,,unajua...
Ebu nipee source ya habari yako kuhusu Hima Empire, leta hayo makubaliano ya limera..Hakuna kitu kama hicho huwezi kupata source ya kuaminika. Baada ya serikali ya Rwanda kupinduliwa 1994 majeshi ya serikali yalikimbilia DRC wakati huo ikiitwa Zaire, kumbuka Mobutu alikuwa rafii mkubwa wa...
Sio kweli ndugu yangu hakukuwa na makubaliano kama hayo hiyo ni myth(maneno yakutunga) ambayo yamekuzwa na mitandao yakijamii.
Hima Empire pia ni myth nikitu hakiwezekani kwenye dunia ya sasa.
Nimependa analysis yako, iko more scientific and well researched, wengi wanaleta mihemuko tu na kukimbilia kutukana bila hata kujua kiini harisi cha mugogoro.
Hoja yako ina ukweli nusu, nikweli walijikuta upande wa Congo baada ya mipaka kukatwa na wakoloni, mila zao na desturi hazikubadilika mpaka leo.
Utofauti wao na ukalibu wao na Rwanda umewafanya kubaguliwa na kuchukiwa na makabila jirani.
Hii ndio sababu kubwa ya mapigano yanayoendelea kwa sasa...
Despite any support M23 may or may not receive from neighboring countries, it's crucial to acknowledge that at its core, M23 is a movement led by Congolese individuals.
This recognition has been affirmed by the Congolese government, as evidenced by the peace deal signed between the government...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.