Recent content by Kabare12

  1. K

    Mauaji ya Kimbari hayaepukiki kujirudia, Kwa ukabila huu wa kundi dogo kuitawala Rwanda huku wakilitenga kundi kubwa si ajabu yakajirudia ya 1994

    Sio kweli ..Wahutu kutoka northern Rwanda niwarefu kuzidi hata watutsi..Wahutu kutoka Western part of Rwanda wana pua ndefu na sura nzuri hata zaidi ya watutsi . RDF ilisha ongozwa na mhutu zaidi ya mara Moja,jeshi la polisi lisha ongozwa na mhutu zaidi ya mara Moja.. Jeshi la magereza mpaka Leo...
  2. K

    Mauaji ya Kimbari hayaepukiki kujirudia, Kwa ukabila huu wa kundi dogo kuitawala Rwanda huku wakilitenga kundi kubwa si ajabu yakajirudia ya 1994

    Una uhakika na unacho kiongea? Una statistics? Hivi unatofautishaje makabila ya Rwanda. Unajua jinalsi system ya uongozi wa Rwanda ilivyo. Mambo ya ukabila yameisha yaliletwa na Baba zenu lakini Kagame ameyamaliza. Utamtofautishaje mhutu na mtutsi wakati hata kwenye ID hakuna kabila imeandikwa..
  3. K

    Ama M23 wataiteka Goma au majeshi ya SADC yataingia Ikulu Kigali

    Sasa kama hakuna why are you concerned? Soma historia kabla yakuropokwa IQ yako ndogo ndio maana huwezi kudebate bila matusi.
  4. K

    Uchambuzi: Mambo ya msingi kabisa ya kuyatambua kuhusu mgogoro wa wapiganaji wa M23 na Congo DRC na mapendekezo ya nini kifanyike

    Ndio zipo maeneo husika, naweza kufungua blog leo nikapost ninacho ona niukweli kwangu sidhani kama hiyo inaweza kuwa reference kwa mtu atakayesoma nilicho post. lakini articles za wasomi, International communities au serikali ndio hutoa credible sources. Huu mgogoro uko complex zaidi ya watu...
  5. K

    Uchambuzi: Mambo ya msingi kabisa ya kuyatambua kuhusu mgogoro wa wapiganaji wa M23 na Congo DRC na mapendekezo ya nini kifanyike

    Basi bwana, naona hatutafikia muafaka ila tu sikila kilichopo kwenye mtandao nikweli, inahitaji credible sources, nasisitiza hakukuwa namukubaliano kama hayo nakama yalikuwepo basi yaweke hapa na source yako yakuaminika, ukifuatilia source ndio utajua kuwa nihabari za mitandaoni tu,,unajua...
  6. K

    Uchambuzi: Mambo ya msingi kabisa ya kuyatambua kuhusu mgogoro wa wapiganaji wa M23 na Congo DRC na mapendekezo ya nini kifanyike

    Ebu nipee source ya habari yako kuhusu Hima Empire, leta hayo makubaliano ya limera..Hakuna kitu kama hicho huwezi kupata source ya kuaminika. Baada ya serikali ya Rwanda kupinduliwa 1994 majeshi ya serikali yalikimbilia DRC wakati huo ikiitwa Zaire, kumbuka Mobutu alikuwa rafii mkubwa wa...
  7. K

    Uchambuzi: Mambo ya msingi kabisa ya kuyatambua kuhusu mgogoro wa wapiganaji wa M23 na Congo DRC na mapendekezo ya nini kifanyike

    Sio kweli ndugu yangu hakukuwa na makubaliano kama hayo hiyo ni myth(maneno yakutunga) ambayo yamekuzwa na mitandao yakijamii. Hima Empire pia ni myth nikitu hakiwezekani kwenye dunia ya sasa.
  8. K

    Uchambuzi: Mambo ya msingi kabisa ya kuyatambua kuhusu mgogoro wa wapiganaji wa M23 na Congo DRC na mapendekezo ya nini kifanyike

    Jibu hoja, ameongelea watusi wazawa wa Congo..waliojikuta Congo baada ya mipaka kukatwa na wakoloni. Tumia akili sio emotions
  9. K

    M23 Washambulia tena Mji wa Sake

    Kwani ndio hakukuwa na vita?
  10. K

    Uchambuzi: Mambo ya msingi kabisa ya kuyatambua kuhusu mgogoro wa wapiganaji wa M23 na Congo DRC na mapendekezo ya nini kifanyike

    Nimependa analysis yako, iko more scientific and well researched, wengi wanaleta mihemuko tu na kukimbilia kutukana bila hata kujua kiini harisi cha mugogoro.
  11. K

    Ili kumaliza migogoro inayoendelea Congo, inabidi malalamiko yote ya waasi yasikilizwe

    Hoja yako ina ukweli nusu, nikweli walijikuta upande wa Congo baada ya mipaka kukatwa na wakoloni, mila zao na desturi hazikubadilika mpaka leo. Utofauti wao na ukalibu wao na Rwanda umewafanya kubaguliwa na kuchukiwa na makabila jirani. Hii ndio sababu kubwa ya mapigano yanayoendelea kwa sasa...
  12. K

    Ili kumaliza migogoro inayoendelea Congo, inabidi malalamiko yote ya waasi yasikilizwe

    Despite any support M23 may or may not receive from neighboring countries, it's crucial to acknowledge that at its core, M23 is a movement led by Congolese individuals. This recognition has been affirmed by the Congolese government, as evidenced by the peace deal signed between the government...
  13. K

    M23 wateka mji wa Shasha, na kuanza kuzingira Goma, busara itumike

    Huwezi ku debate na mtu intellectually bila matusi? Haueleweki.
  14. K

    Mwanachama humu amenikumbusha nilivyomfanyia jamaa mmoja aliyekuwa anajiona kafika kazini

    Ndio maana Africa haiwezi kuendelea, yani kosa lake ilikuwa kupenda kazi sana.
Back
Top Bottom