Sio kweli ..Wahutu kutoka northern Rwanda niwarefu kuzidi hata watutsi..Wahutu kutoka Western part of Rwanda wana pua ndefu na sura nzuri hata zaidi ya watutsi . RDF ilisha ongozwa na mhutu zaidi ya mara Moja,jeshi la polisi lisha ongozwa na mhutu zaidi ya mara Moja..
Jeshi la magereza mpaka Leo...
Una uhakika na unacho kiongea? Una statistics?
Hivi unatofautishaje makabila ya Rwanda.
Unajua jinalsi system ya uongozi wa Rwanda ilivyo.
Mambo ya ukabila yameisha yaliletwa na Baba zenu lakini Kagame ameyamaliza.
Utamtofautishaje mhutu na mtutsi wakati hata kwenye ID hakuna kabila imeandikwa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.