Dawa ya meno ninayo tumia ni Colgate Sensitive PRO-Relief iyo haina kabisa sulphate...chochote chenye sulphate kwangu ni tatizo. Unaponiambia niambia maji naweza kunya yoyote niondoe hofu sikuelewi. Wakati kwenye Ingredient imeandikwa kuna sulphate 9.5 sasa hapo inaniachaje kwa mfano
Natokwa na vipele vingi vikiambatana muwasho mkali...endapo nitatumia product yenye mchanganyiko wa madini ya sulphate kwenye ingredients lkn hata nikila kuku broiler mayai tunayo ita ya kizungu nateseka na hii allergy jamani maji ninywe Kilimanjaro tuu hayana sulphate lkn vitu vingi vina iyo
Naomba msaada wenu wakuu mimi nina sulphur allergies nafanyaje niweze kuondokana na ili tatizo kabisa mana product nyingi madukani zina sulphate najikuta nameza dawa mara kwa mara nisaidieni hata kama kuna dawa za kienyejiza kumaliza tatizo kabisa
Naitwa Mwinyi. naishi Dar es salaam sinza
Natafuta kazi ya udereva wa taxi Uber
Nina driving license class D
0787283582
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.