Jaribu kutumia akili iliyoko kichwan yawezekana hutumii tena kichwa kufikiri kama hujaona mafuriko ya watu chato bas! Hata hivyo usisahau hata shetani anawafuasi
Tafadhali we mwamshamba Fanya utafiti wa kujua akili zako zilipo pengine ilishahama kutoka kichwani kwenda mahala pengine kwa sababu unajaribu kueleza jambo la kitaifa kwa kuchambua upande Moja. Hivi wewe unayeshinda mitandaoni umesahau kauli zilizotolewa na yule m.kiti wa Uvccm kuwa hao...
Ni vigumu kueleweka kwako vizuri maana uko 50/50 na ushauri wako ingefaa zaidi uutoe serikalini maana chaguzi zetu mara nyingi zimekuwa za kupoteza rasilimali fedha na watu na majeruhi na hata vifo hivyo ni jukumu la serikali kuweka mifumo shirikishi ya kusimamia chaguzi na kuweka Sheria mzuri...
Ni mwanachama Malaya Malaya tu ndiye anayeogopa kukamatwa akiongea ukweli na ndio maana siasa nyingi zinakuwaga za msimu kwa kuwa wanaogopa kukamatwa. Hebu fikiria waasisi wa nchi nyingi za Afrika wangeogopa kusema ukweli tungekuwa wapi Leo? Acha kujifanya hamnazo wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.