Recent content by K9TZ

  1. K9TZ

    Kama una Pixel 9 Pro XL, na hauna chaja basi hizi ndio chaja inaweza kutumia zikafaa.

    Ni kweli ila siku zinavyokwenda mambo yanabadilika, sasa kma hivi ukipoteza chaja ndio Utafute mbadala wa bei cheap
  2. K9TZ

    Kama una Pixel 9 Pro XL, na hauna chaja basi hizi ndio chaja inaweza kutumia zikafaa.

    Hata hivyo, ikiwa unatafuta chaja ya wahusika wengine ambayo inafanya kazi na Google Pixel 9 Pro XL, utahitaji kuhakikisha kwamba inatumia voltage inayohitajika. Baadhi ya chaguo ni pamoja na chaja ya Samsung ya 45W ambayo inatumia hadi 20V/2.25A kupitia PPS, au 45W Nano II ya Anker, ambayo pia...
  3. K9TZ

    Ipi bora kati iPhone na Android? Toa sababu zenye nguvu

    Kwanza swali lako limekaa kiwaki 'Kati ya IPhone na Android' ebu kwanza ujue Android ni mfumo endeshaji na iPhone ni aina au zalio la Apple. Sijui ulikuwa umelenga kitu gani hapo, basi mm nasema hivi kati ya iPhone na Android ipi bora ni Android. Labda mpaka urudie swali lako vizur ili ujibiwe...
Back
Top Bottom