Recent content by k290

  1. K

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Unataka ujibiwe mara ngapi?, always wagalitia hamna hoja, hamjui kubwa wala dogo, hamjui bibilia yenu, kichaka chenu ni roho Mtakatifu
  2. K

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Mkuu uislamu ni level nyingine, huku ni HAKI NA ukweli mtupu, wewe ongelea unacho kijua, maana hata hiyo Bibilia yako huwezi ibeba na sio wewe hata kwa wenzako pia ni same
  3. K

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    "Yesu mwana wa mungu" Hivi huoni hata haya na maneno haya?, hivi nikuulize kitu Ikiwa yesu ni mwana wa mungu, huyo mungu ali oa lini?, au huyo mungu ali muacha lini huyo mkewe (maria) yaani talaka ipo wapi?, au wapo honeymoon?, au sasa hivi yupo kwa mumewe yaani huyo mungu wenu?? Hii HOJA...
  4. K

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Kama aliwakataa wanafunzi wake wasi muite kristo eti kwa kuogopa warumi (siasa), Sasa kumbe una kubali hojaa ya waislamu kuwa yesu ali uliwa kwa sababu za ki siasa (roma) na sio sababu ya kiimani kama mnavyo danganyana huko, Na kama ni mpango wa mungu kwa nini ali ogopa kuitwa kristo?, Je...
  5. K

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Weka ushahidi wa hilo, alafu wewe ni bogus kweli kweli, sasa ukipewa msahafu mpya ndio umepewa Quran mpya?, Hizo huwa wakfu na huo wakfu una maana yake, kama uongozi wa Makkah umetoa misahafu ya wakfu kwa mahujaj shida ipo wapi?, wewe ni bogus wa kiwango cha sgr Alafu Kwa taarifa yako...
  6. K

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Nakusikitikia ndugu yangu, njoo ktk dini ya haki uislamu KWA WENYE MACHO NA MASIKIO NA AKILI PIA , MAMBO YALIANZIA HAPA matayo 16:20 Luka 9:18-21 Haya hizo ni ushahidi milele ya kwamba yesu mwenyewe kwa kinywa chake ali wakataza sana wanafunzi wake wasi muite kristo. Sasa wewe...
  7. K

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Nakama bibilia haikushuka maana yake ni Maneno ya binaadamu tu hakuna laziada hapo, na kama ni maneno ya binaadamu hayapaswi kufuatwa
  8. K

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Ila ku editiwa kwa bibilia kuna ifanya iwe special?, Niki kuita mpumbavu uta sema nime ku tusi, hivi kitu gani ki edit we then ki baki na maana yake ya asili?, Yaani kila kanisa lina bibilia yake na mafundisho yake tofauti kabisa Yaani pentecost aka sali Rc inawezekana?, hebu wakristo...
  9. K

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Hapo hamna tusi, upumbavu ni silka yako mkuu, maana hata kuona na kusikia pia huwezi. Sasa kwakua una iamini bibilia sasa ngoja ni mchambue huyo Paul Note: watu watajua kama ukristo ni wa yesu au Paulo
  10. K

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Kwanza wewe na hao ktk video ni same akili zenu, alafu wewe ni zaidi ya bogus , Hivi kujua kuwa Quran kariim ipo moja akili yako haiwezi hata ku sense, ikiwa wewe una cheti hata cha darasa la saba basi fanya hata kukifungia vitumbua, Yaani hata hujui kuwa waislamu hukutana Makkah?, tena hu...
  11. K

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Mkuu yesu mnasingizie bureeeee, bibilia imejaa maneno ya Paulo na maneno ya mchongo mchongo, Bibilia imejaa vitabu visivyoeleweka nani muandishi wake na alikua na lengo gani, ili wana theology wanalitambua hili, Bibilia origin yake ni ki Hebrew mnavyo sema hivi kitendo tu cha kuitafsiri...
  12. K

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Wewe huna elimu yoyote hata kiduchu tu kichwani mwako upo full empty Ktk elimu ya dini, Quran kariim kuilewa sio mpaka eti uwe na roho Mtakatifu ( kama kichaka cha dini fulani) Quran kariim ina hitaji akili tu only, 1-3 , hamna hoja hapo Duniani kote kitabu cha uislamu ni Quran kariim, nenda...
  13. K

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Ulivyo mpuuzi, eti uniletee data, uniletee data wakati akili,macho na masikio ninayo Uniletee data wakati hiyo Bibilia yako ipo wazi kiasi hadi hao wachungaji wenu wanagombana kila siku Wakristo almost wote wana mfuata mtume Paul, na wengi wana mpinga huyo yesu 😂😂😂 Kwenye chuki,roho mbaya...
  14. K

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Wewe ndio mpumbavu tena wa mwisho, iweje umtegmee binaadamu (yesu) eti awe mungu au mwana wa mungu
  15. K

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Huna hoja wewe, tena hautokua na hoja dhidi ya Quran kariim then uka shinda
Back
Top Bottom