hakuna mtu yeyote mwenye mamlaka ya kukataa hela kwani hela ni mali ya serikali na ni malipo halali kwa huduma itolewayo kwa wakati huo hivyo huyo muhudumu wa bank amekosea sana
Hoja: Hii ni sahihi kwa benki kukataa kupokea sarafu? Je, sarafu hazitambuliwi kama fedha halali hapa nchini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.