Recent content by Junior16

  1. Junior16

    Msaada kimawazo kuhusu usajili wa kampuni ya Uhandisi

    Ndo nipo kwnye mchakato wa mwanzo kabisa wa usijili..mzee
  2. Junior16

    Msaada kimawazo kuhusu usajili wa kampuni ya Uhandisi

    Hapo kwenye shares atujaliongelea..kinagaubaga
  3. Junior16

    Msaada kimawazo kuhusu usajili wa kampuni ya Uhandisi

    Wadau wa JamiiForums habari zenu, Mimi Ni graduate engineer kwenye kozi ujenzi barabara na majengo ngazi ya Diploma, hivyo Ninaomba msaada wa kimawazo Kuna contractor ambaye alinisihii nimsajilie mwanae kampuni kutumia cheti changu na ya kwamba atanizingatia katika kazi kama engineer. Naombeni...
Back
Top Bottom