Huu uzi hatari sana,jana nimetoka zangu Makulu hapa Dodoma nikasema niende Meriwa nikapate zangu kitimoto tekenya na mtungi kidogo ,sasa kuna mahali kuna Lodge na bar wanipika kitimoto na vyakula vingine panitwa CM Lodge.
Kufika pale nikaanza zangu kupata masanga mbili tatu,huku nimeagiza kilo...
Hii hatari mkuu mi kuna mmoja huyo alikuwa hovyo enzi hizo now kawa piruu kinoma yaani anajambia mbali hatari sema wazee wamewekeza hata kuomba mzigo noma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.