Tunashauriwa sana kabla hatujaingia ktk mahusiano tuangalie dini kwanza. Na haina maana kufanya mapenzi na mtu ambaye mshatoafutiana dini , ni vyema kuwa na ndoa kabisa ili maisha yaendelee kwa raha.. Kwa ushauri ni kwamba kama mwanaume lazima awe muislam na pia kama binti ni mkristo lazima awe...
Wanawake wengi wana tabia ka kunuka tumidomo.,sehemu za siri,sehemu za kwapa na wengine kuwa na usafi wa muda eti kisa anaenda kukutana na.......... Mjirekebishe kuwa wasafi
Kwa misimamo ya kidini hakuna ndoa ya kiislamu inayofungwa na mkristo. Muislam na muislam na pia mkristo na mkristo, kama binti ni muislam amepata mwanaume mkristo inabidi mwanaume awe/asilimu kuwa muislam na kama binti ni muislam kapata mwanaume mkristo na mwanaume anataka binti ndiyo awe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.