ivi wadau mbona nacte na vyuo vikuu naona kama hawajapanga mambo yao sawa?, kwa mfano unachaguliwa chuo husika halafu chuoni wanakukataa huoni kama ni kumpotezea muda mwanafunzi?yaan badala ya mwanafunzi kujiandaa na ada ya shule anaanza kufuatilia chuo kingine honestly sio kama.wana sytem...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.