Simple and clear sheria ya vyama vya siasa hapa nchini hairuhusu vyama kuungana! (coalition) ingawa inaruhusu mashikirikiano(cooperation) ndio maana kuna kipindi tulipata (UKAWA) ! TUNAPODAI KATIBA MPYA NI PAMOJA NA HILI ! Ili siku moja nyie nzi wa kijan muungane rasmi na vikundi vikundi vya...
Kina yavuz karazuu au waturuki tuseme in general! Wameshikilia bwawa mpaka walipwe hela zao! Na waziri anajua hlo na sisi pia tunajua! Sasa hizi hela za kuunda kamati , mikutano ya kina g msuguliwa si mngepeleka kupunguza deni? Halafu hivi nzanziba napo ulikata?
Vipi kuhusu zile pesa benki kuu ili
Ilizobadilisha kisa Saini ya migulu mchembe! Je hiyo harambee sio ya kutakatisha zile hela?? Panua akili usipanue tackle !!
Anchokifanya slow slow ni kuituliza ccm ! Hakuna chochote anachofanya kusaidia Taifa hili ,,! Kuna jamaa zangu wa opposition nimewaambia hata maneno wakawa wakali mno wakidai mi ni pandikizi!!
Yaani Barbara tujenge Kwa Kodi zetu halafu tulipie Tena?? Jamani hata huko wanapolipia Barbara nikuwakuna watu wamejenga ndo wanaolipwa sio hizi zetu za tanroad na tarura
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.