Recent content by Jumanne Mkota

  1. Jumanne Mkota

    JamiiForums Tanzania Dr Nchimbi jiuzulu ili tuamini

    Kama hutajiuzulu huu utakuwa ni NI MWENDELEZO Wa utapeli kama tapeli zenu zingine! tunataka katiba mpya
  2. Jumanne Mkota

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Umoja wa Vyama Vya Siasa vya Upinzani Tanzania huwa haidumu na badala yake husambaratika haraka?

    Simple and clear sheria ya vyama vya siasa hapa nchini hairuhusu vyama kuungana! (coalition) ingawa inaruhusu mashikirikiano(cooperation) ndio maana kuna kipindi tulipata (UKAWA) ! TUNAPODAI KATIBA MPYA NI PAMOJA NA HILI ! Ili siku moja nyie nzi wa kijan muungane rasmi na vikundi vikundi vya...
  3. Jumanne Mkota

    JamiiForums Tanzania Waziri Ndejembi aagiza kuundwa kwa kamati ya Uchunguzi wa hitilafu ya Gridi ya Taifa

    Kina yavuz karazuu au waturuki tuseme in general! Wameshikilia bwawa mpaka walipwe hela zao! Na waziri anajua hlo na sisi pia tunajua! Sasa hizi hela za kuunda kamati , mikutano ya kina g msuguliwa si mngepeleka kupunguza deni? Halafu hivi nzanziba napo ulikata?
  4. Jumanne Mkota

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa azungumza na waandishi wa habari - Juni 28, 2026

    Daah! Mbona hamna update? Mi naona comment tu
  5. Jumanne Mkota

    JamiiForums Tanzania Tetesi: CHADEMA kwenye mazungumzo mazito na DPP kuhusu hatma ya Lissu

    Kwamba mtoa post unataka kutuaminisha kuwa DPP na CHADEMA wanakaa vikao kupindisha sheria ili lissu aachiwe? Quemer mayo mtoa post
  6. Jumanne Mkota

    JamiiForums Tanzania DC Sixtus Mapunda: Wananchi wananiambia hawataki kwenda Polisi, bora niwapeleke TAKUKURU kwa kuwa kuna haki

    Ungese mwingine kutoka kwa watawala wauaji! Yaan issue za criminal zika solviwe takukuru! Yaan mnatuona mikundu sio! Maninah zenu! Halafu koditna tozo mnazokusanza mnapeleka wapi kama mnashindwa kuhudumia walipa kodi wenu! Nyie ni waizi shetan wahed!
  7. Jumanne Mkota

    JamiiForums Tanzania GE2025 Uhalisia ndani ya harambee ya CCM

    Vipi kuhusu zile pesa benki kuu ili Ilizobadilisha kisa Saini ya migulu mchembe! Je hiyo harambee sio ya kutakatisha zile hela?? Panua akili usipanue tackle !!
  8. Jumanne Mkota

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kailima Ramadhani: Acheni upotoshaji, idadi ya wapiga kura iko sahihi

    Huyu kilima ni tackle kweli kweli
  9. Jumanne Mkota

    JamiiForums Tanzania GE2025 Prof. Ndakidemi aahidi Airport jimbo la Moshi Vijijini akipewa nafasi tena kuwa Mbunge

    Anaenda kuijengea wapi? Moshi vijijini kuna tambarare ipi?
  10. Jumanne Mkota

    JamiiForums Tanzania Je, Polepole ni tapeli ?

    Anchokifanya slow slow ni kuituliza ccm ! Hakuna chochote anachofanya kusaidia Taifa hili ,,! Kuna jamaa zangu wa opposition nimewaambia hata maneno wakawa wakali mno wakidai mi ni pandikizi!!
  11. Jumanne Mkota

    JamiiForums Tanzania Kanisa limepiga marufuku wanasiasa kusalimia kanisani, wamekosea sana

    Na wakifa pia ndugu zao wasialike viongozi wa dini kuendesha ibada za wafu. Watupwe tu kwenye mashimo yayayoitwa makaburi. Period
  12. Jumanne Mkota

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Mkurugenzi wa Wilaya ya Serengeti, Dkt. Maulid Madeni: Wagombea wa CHADEMA walioenguliwa hawakujiandikisha kupiga kura

    Hakuna hiyo sifa kabisa mkurugenzi msenge sana huyo
  13. Jumanne Mkota

    JamiiForums Tanzania Ni sawa Ili kupunguza Foleni Barabara za Mabasi ya Mwendokasi zitumike na Magari binafsi kwa Kulipia na Iwe tsh 30,000 kwa saa

    Yaani Barbara tujenge Kwa Kodi zetu halafu tulipie Tena?? Jamani hata huko wanapolipia Barbara nikuwakuna watu wamejenga ndo wanaolipwa sio hizi zetu za tanroad na tarura
Back
Top Bottom