Recent content by Jumanne Mkota

  1. Jumanne Mkota

    GE2025 Uhalisia ndani ya harambee ya CCM

    Vipi kuhusu zile pesa benki kuu ili Ilizobadilisha kisa Saini ya migulu mchembe! Je hiyo harambee sio ya kutakatisha zile hela?? Panua akili usipanue tackle !!
  2. Jumanne Mkota

    GE2025 Prof. Ndakidemi aahidi Airport jimbo la Moshi Vijijini akipewa nafasi tena kuwa Mbunge

    Anaenda kuijengea wapi? Moshi vijijini kuna tambarare ipi?
  3. Jumanne Mkota

    Je, Polepole ni tapeli ?

    Anchokifanya slow slow ni kuituliza ccm ! Hakuna chochote anachofanya kusaidia Taifa hili ,,! Kuna jamaa zangu wa opposition nimewaambia hata maneno wakawa wakali mno wakidai mi ni pandikizi!!
  4. Jumanne Mkota

    Kanisa limepiga marufuku wanasiasa kusalimia kanisani, wamekosea sana

    Na wakifa pia ndugu zao wasialike viongozi wa dini kuendesha ibada za wafu. Watupwe tu kwenye mashimo yayayoitwa makaburi. Period
  5. Jumanne Mkota

    Ni sawa Ili kupunguza Foleni Barabara za Mabasi ya Mwendokasi zitumike na Magari binafsi kwa Kulipia na Iwe tsh 30,000 kwa saa

    Yaani Barbara tujenge Kwa Kodi zetu halafu tulipie Tena?? Jamani hata huko wanapolipia Barbara nikuwakuna watu wamejenga ndo wanaolipwa sio hizi zetu za tanroad na tarura
  6. Jumanne Mkota

    Rais Samia: Wanaolipa kodi Tanzania ni milioni 2 tu

    Mi najiuliza Ile asilimia 18 ya vat kwenye bidhaa inaitwaje, au Ile mchanganuo tunaoona tukinunua vocha za simu au tukibet inaitwaje, au tukinunua fegi, au mahitaji mengine au tra wanatudanganya kwenye risiti za efd tunazopewa madukani kwamba kile kllichokatwa ni kitu Gani vile!! Yaan maswali ni...
  7. Jumanne Mkota

    Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    Mkiwa dhoofu li hali 😝😝😝zingatieni mablangah kwa mtunzi au mnadhani kichwa chake kinajazwa maji ili ki operate??
  8. Jumanne Mkota

    Mara: 15 wakamatwa kwa kushambulia Polisi Mara

    Jeshi letu la polisi linaelekea kukosa Imani kwa raia kwa Kasi kubwa mno! Hii sio dalili nzuri kwa watu kukosa Imani na chombo hili muhimu! Kinachofuata ni raia kukataa kutii amri za kipolisi kutokana na tabia za polisi wetu! Hapo tukifika lazima kinuke! IGP jitathmini
  9. Jumanne Mkota

    Puuzeni taarifa za uteuzi wangu. Mimi ni Mwanachama wa kawaida na wala sina cheo ndani ya CCM

    SiO kwanza unapiga mwano ili wakuu waone jitihada zapis tomu jamvini😅😅😅😅
  10. Jumanne Mkota

    Farhia Middle anywea kuendelea kuhoji rushwa kutoka kwa Abdul kwenda kwa Tundu Lissu

    Abdul ni raia wa kawaida ndio!ila kwenye shughuli za kiserikali anahusika kama Nani??
Back
Top Bottom