Tangu nimekuwa na umri huu 45+yrs nimeyafahamu majina mengi ya robert akiwemo ROBERT NESTA MARLEY! hawa jamaa wamejaliwa kuwa critical thinkers! ila wanaongozwa zaidi na bange! fikra zao nyingi zimejaa moshi wa bange lkn some how unapata logic na knowledge kiasi! sasa we wajina wa bob marley...
Lakini pia katiba ya chama cha mauaji inasema kuwa kamati kuu itampeleka kwanza kamati ya usalama na maadili ili asikilizwe then NEC na mkutano mkuu UTA M DELETE! au katiba yao imebadilika?
sio kweli kama watu hawalipi kodi! ishu ni uadilifu na nidhamu kwenye matumizi ya hizo kodi! embu niambie wewe mgweno! ni sahihi mwenge kwenda kuzindua majosho ya kuoshea ngombe?
Wale wale wajinga! hivi umewahi kidogo kufuatilia uadilifu wa matumizi ya kodi inayokusanywa na serikalii? kama mfadhili anajenga choo cha shule halafu mkuu wa mkoa anakuja kukizindua na msafara wa ma v8 kumi na hao abiria wako wawili kwenye kila hyo v8 na posho za kufanya kazi nje ya kituo...
babu hujatukanwa umekurupushwa tu ujifunze kuwa unachokipost humu unakifahamu? labda nikufungulie kidogo! kodi ya mapato inatozwa kwenye pato ghafi(gross income) la zaidi ya tsh 2500000/= kwa mwaka! hii inawahusu wafanyakazi rasmi sio vibarua . na watu wenye miradi inayoingiza faida kibiashara...
Mil 70 walipe incomd tax? hiyo kodi kwanza unaijua status yake? hizi ndo elimu za hapa na pale! yaan hujui kitu halafu unaendelea kusapoti uzi kwa kukoment? mjinga kabisa! yaan hizo mbegu zilitunga mimba yako bora baba yako angepiga mgalala tu akapata raha dunian
ila CHADEMA ni noma yaani kila kitu kimesimama nchi hii ! Kila mtu chadema ifanye hivi na vile! Kwa hesabu hizi watv nawaondoke tu wawapishe chadema waongoze hil taifa!
Nahisi pia kamletea na umkomboti! Daa ila nchi yetu shida sana! Yaan badala ya kuwaalika ikulu kina elon musk au watu wa maana tunawaalika kina mkomboti na senki yuu mr dijei
Simple and clear sheria ya vyama vya siasa hapa nchini hairuhusu vyama kuungana! (coalition) ingawa inaruhusu mashikirikiano(cooperation) ndio maana kuna kipindi tulipata (UKAWA) ! TUNAPODAI KATIBA MPYA NI PAMOJA NA HILI ! Ili siku moja nyie nzi wa kijan muungane rasmi na vikundi vikundi vya...
Kina yavuz karazuu au waturuki tuseme in general! Wameshikilia bwawa mpaka walipwe hela zao! Na waziri anajua hlo na sisi pia tunajua! Sasa hizi hela za kuunda kamati , mikutano ya kina g msuguliwa si mngepeleka kupunguza deni? Halafu hivi nzanziba napo ulikata?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.