Vipi kuhusu zile pesa benki kuu ili
Ilizobadilisha kisa Saini ya migulu mchembe! Je hiyo harambee sio ya kutakatisha zile hela?? Panua akili usipanue tackle !!
Anchokifanya slow slow ni kuituliza ccm ! Hakuna chochote anachofanya kusaidia Taifa hili ,,! Kuna jamaa zangu wa opposition nimewaambia hata maneno wakawa wakali mno wakidai mi ni pandikizi!!
Yaani Barbara tujenge Kwa Kodi zetu halafu tulipie Tena?? Jamani hata huko wanapolipia Barbara nikuwakuna watu wamejenga ndo wanaolipwa sio hizi zetu za tanroad na tarura
Mi najiuliza Ile asilimia 18 ya vat kwenye bidhaa inaitwaje, au Ile mchanganuo tunaoona tukinunua vocha za simu au tukibet inaitwaje, au tukinunua fegi, au mahitaji mengine au tra wanatudanganya kwenye risiti za efd tunazopewa madukani kwamba kile kllichokatwa ni kitu Gani vile!! Yaan maswali ni...
Jeshi letu la polisi linaelekea kukosa Imani kwa raia kwa Kasi kubwa mno! Hii sio dalili nzuri kwa watu kukosa Imani na chombo hili muhimu! Kinachofuata ni raia kukataa kutii amri za kipolisi kutokana na tabia za polisi wetu! Hapo tukifika lazima kinuke! IGP jitathmini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.