Hatari xana watu mnaharaka ya kuelewa mm nmemuelewa jaamaa vizur tu,Ni kweli kuna kodi ya ardhi na nilazima wananchi walipe,lakin kwann jumba ya kupangsha mwenye Nyumba alipa maana yake Nyumba yake kaifanya biashara xo kodi anayolipa pale ni ya biashara na si vinginevyoo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.