Wadau,
Leo mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam. Hata hivyo, haikuwazuia Wananchi wa Majimbo ya Ubungo na Kibamba kwenda kumsikiliza Rais John Magufuli na wagombea Ubunge wa majimbo hayo kwenye Mkutano wa hadhara pale Mburahati.
Mkutano ulikuwa na sababu zote za kutofanikiwa. Kwanza ulipangwa...
UJIO wa Profesa Kitila Mkumbo katika siasa za Dar es Salaam umeleta nguvu mpya na msisimko katika siasa za Mji Mkuu wa zamani wa Tanzania.
Kwa takribani miaka 15 sasa, Dar es Salaam ilikuwa na bahati mbaya ya kuwa na wabunge machachari wa upinzani na waliopoa kidogo; walau ndani ya Bunge kutoka...
Wakuu,
Inaonekana kuna mvutano mkubwa wa kisiasa katika Jimbo la Iramba Magharibi baina ya Profesa Kitila Mkumbo na Dk. Mwigulu Nchemba.
Kitila bado hajatangaza hadharani endapo kweli anataka nafasi hiyo. Mwigulu, angalau kashatangaza 'kiaina' kwa kujigamba kwamba anayetaka kupima urefu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.