Recent content by Juma Issihaka

  1. J

    SoC03 Kwanini wananchi hawaziamini kamati na tume zinazoundwa

    Unakumbuka, siku moja baada ya ajali ya moto katika soko la kariakoo, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliunda kamati ya siku saba kubaini chanzo chake? Tukio hilo lililotokea Julai 11, mwaka 2021 na kusababisha hasara kwa maelfu ya wafanyabiashara katika Soko hilo kongwe jijini hapa, licha ya...
  2. J

    Simulizi ya mama aliyekalia maji ya chumvi kutibu fistula

    Na MWANDISHI WETU YUNIS Simon (50) si jina halisi mama wa watoto watatu mkazi wa Mkoa wa Simiyu , ambaye alitaabika na tatizo la kutokwa na haja ndogo na kubwa sehemu ya haja ndogo hali inayotajwa na wataalamu kuwa tatizo la fistula ya uzazi. Mama huyo anabainisha tatizo la kutokwa na haja...
  3. J

    SoC01 Pwani: Wakazi Kijiji cha Mdimni hatarini kupoteza makazi kwa athari za mabadiliko ya tabianchi

    Nyumba iliyo karibu kusombwa na Bahari, kijiji cha Mdimni wilayani Mkuranga. Na Mwandishi Wetu Maisha ya wakazi wa Kijiji cha Mdimni kilichopo wilayani Mkuranga katika Mkoa wa Pwani, yapo shakani kufuatia sehemu kubwa ya ardhi yake kughubikwa na athari zilizokithiri za mabadiliko ya...
Back
Top Bottom