Recent content by Juma amon

  1. J

    NACTE acheni uzembe

    au ndo mambo yameharibika tena mpaka mwakani au?
  2. J

    NACTE acheni uzembe

    nkijarbu kufungua nacte haifunguki inaandika hivi
  3. J

    Kama kuna waliopata NACTE first selection

    eti ndugu nacte wamefunga system zao?maana kila nikiingia haifunguki
  4. J

    NACTE Ingilieni Kati Huu ni Wizi wa Wazi Wazi

    nacte wamefunga system yao ni kweli?maana nikiingia haifunguki
  5. J

    Kama kuna waliopata NACTE first selection

    daah cjui inakuaje hvy ambavyo wanatuandikia
  6. J

    Kama kuna waliopata NACTE first selection

    hata mm wameniandikia WAIT FOR NEXT SELECTION daah nikajua labda wameshatupotezea mpaka mwakani.kwann inakuaje hvy ambavyo wanasema?
  7. J

    Kufungua profile NACTE

    inshaallah nashkuru kwa ushauri wako
  8. J

    Kufungua profile NACTE

    jaman hata mm mpaka sasa nakuta wameniandikia "Now wait for second selection that will be released soon" inakuaje hapo ndugu maana kuna watu tayar taatifa zimewafikia kuwa wamekua selected one of the choice.nisaidieni hapo inakuaje
Back
Top Bottom