Rais magufuli leo kwenye kupokea cheti chake ameshasema hiki ndicho kipindi chake cha mwisho sasa nyie wanazengo mnaleta uongo wenu usio na faida yoyote
Rais wetu Dkt.John Pombe Magufuli anaona mbali sana hakuna maendeleo yoyote katika nchi yetu kama hakuna amani..watanzania waangalie tu nchi baadhi zenye vita,uchumi unashuka ,watu wanakufa tunapoteza nguvukazi, wazee wetu ,baba,mama na watoto wadogo wanaathirika sana na vita.Sasa hivi vyama...
Rais wetu ni Dkt John Pombe Magufuli amatenda mengi mazuri kwenye nchi yetu tunampa mitano mingine ili tuiendeleze tanzania yetu kwenye Amani, Uchumi, maliasili, miundombinu
wanaCCM niwatiifu na wenye kusikiliza maelekezo ya nayo itajika kufanya sio hao wapinzani kila kitu wanataka kufanya kwa pupa ndio mana wengi wao hushindwa kujaza fomu au kukosea kujaza fomu
Yani mimi kama kijana naisubiri sana hiyo tarehe 28 october tukawaonyeshe watanzania jinsi magufuli tunavyompenda vijana ...Yani kura zote kwa Dk John Magufuli....huyu mzee jamani katufanyia maendeleo mengi anaebisha kuna nati za kichwa zimechomoka
sasa ndugu yangu hayo maendeleo mengine yangetokea wapi bila bajeti nyingine kupunguzwa. Rais wetu Magufuli ameweza kufanya wafanyakazi kupata mishahara yao kwa wakati sio kama kipindi kile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.