Amani ya bwana iwe pamoja nanyi, mi ni mwanafunz ninaechukua kozi ya afya(pharmacy) kwa bahati mbaya sikufanikiwa kufanya mtihani wa nacte mwezi Jana, kutokana na kuugua.
Nikashauriwa na academic niandike barua ya kusitisha semester hili nije nifanye huo mtihani nawa nyuma yangu, au nisubiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.