Baada ya kukaa database miez nane na kidgo Mung ni mwema [emoji120] na mm pia nmelamba asali.
Wakuu hakuna haja ya kukata tamaa utumishi wako real.
Kwa kifupi nlkuwa nishaanza kukata tamaa maana ckutokea kwenye placement za mwanzo nikajua bye bye baba Jane.
Leo niko na harakati zangu...
Mkuu hakuna sehem niliyosema wewe mwizi..Rudia kusoma vzr..
Maarifa kwa 50k?
Pia napata waswas kwa maana umeeleza vtu na umekiri kwamba umeteseka kutafta kaz kwa mda mrefu na hujasema Kama ulshapata nafas ya kufanya kaz
Kaz za ulinzi ulkuwa ukipata hela ndogo bdye ukapata connection za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.