Habari jaman wapendwa poleni na majukumu ya kujenga nchi..
Naomba kuuliza kama kuna yoyote humu anaowajua au anayejua zile yard za magari wanaouza pia kwa mkopo kwa wafanya kazi waajiriwa..yaani mtu anapewa gari kisha kadi wanabaki nayo na anakuwa analipa kila mwezi kama labda kila mwez laki5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.