Alafu Mhe.Diwani na Mbunge wakija kwenu kuomba kura watawaambia mambo yaliyofanyika kwenye utawala wao ni pamoja na ujenzi wa daraja la Busisi, Ndege zimeongezeka, bwawa la Umeme JNyerere.
Naomba muwaulize kama hayo kwa nafasi zao mliwatuma kuyafanya hayo? Majibu watakayo wapeni yatafakari kama...
Je, vitu hivyo ni siri? ni kwanini viwe siri wakati haya ni mapambano ya Dunia nzima na tunasema kuwa tunashirikiana kupambana na janga hili!?
Je, wataalamu wetu wa Afya Tanzania wanavifahamu vitu hivyo? kama ndiyo kwanini wasimwambie MAMA ili tuvipate tuweze kutengeneza chanjo yetu wenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.