Ningependa kufahamu ni mkondo gani inabidi ufwate au watu wa kuwasiliana nao ili kushtaki uendeshwaji wa kazi hatarishi kiafya na kwa mazingira katika makazi ya watu na bila ruhusa maalumu.
Kuna watu mtaani kwetu wanatuua taratibu kutuchafulia hewa na chenga chenga za vyuma pamoja na kelele...
Ngependa kufahamu ni mkondo gani inabidi ufwate au watu wa kuwasiliana nao ili kushtaki uendeshwaji wa kazi hatarishi kiafya na kwa mazingira katika makazi ya watu na bila ruhusa maalumu kuna watu mtaani kwetu wanatuuwa taratibu kutuchafulia hewa na chenga chenga za vyuma pamoja na kelele usiku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.