Bro naomba unisaidie nataka kujua pale ifm mara nyingi vipindi vinaisha saa ngapi kwa wanaosoma computer science? Mimi nakaa mbagala na sina mpango wa kukaa hostel, usafiri wa huku kwetu kwa jioni ni balaa. Nisaidie kwa hilo bro nijue kabisa najipanga vipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.