Recent content by JOYSON

  1. J

    Mada Maalum: Waliochaguliwa kujiunga chuo kikuu cha Dodoma 2017/18

    Napenda kutoa shukrani sana kwa alieanzisha uzi huu, pia kwa ote tuloshiriki ktka huu uzi.. Hakika mmekua msaada kwa wengi hasa kwangu. Niliripot hapa udom tar 28 na jana 29 nkakamilisha usajili. Shukrani mingi mingi kwenu wakuu, mmekua wamuhimu sana
  2. J

    Mada Maalum: Waliochaguliwa kujiunga chuo kikuu cha Dodoma 2017/18

    Piga za voda ndo angalau hua wanapokea.. Tigo wanazingua.. Komaa na voda usichoke watapokea
  3. J

    Mada Maalum: Waliochaguliwa kujiunga chuo kikuu cha Dodoma 2017/18

    Ingia website ya udom utaona "alis log in'' alaf ataingza namba ya fm four mfano sxxxx/yyyy/2000 ( mwaka alomalza f4) seem ya paswod aweke jina la mwosho kwa herufi kubwa mfano JOYSON
  4. J

    Mada Maalum: Waliochaguliwa kujiunga chuo kikuu cha Dodoma 2017/18

    Kama kukutumia labda registration form na medical form ndo zinaingliana zingine ni zamtu binafsi nitafute 0755085891 wasap nikutumie pdf files
  5. J

    Mada Maalum: Waliochaguliwa kujiunga chuo kikuu cha Dodoma 2017/18

    Mi nmechaguliwa pale diploma.. Na walipotoa nlilog in nikakuta dokment kama tano ivi wakasema nizidownload; Admision later Fee instructions Medical fom Regstr fom Na iyo yenye control number ambayo walisema tuwape bankers during payments na wamesema ni binafs hazifanani.. Ila CRDB wamesema...
  6. J

    Mada Maalum: Waliochaguliwa kujiunga chuo kikuu cha Dodoma 2017/18

    Wakuu poleni na majukumu.. Nimeenda kulipia hela CRDB wamenambia zile control number eti hazitumiki.. Ni asawa jamani au itasumbua naadae
  7. J

    Mada Maalum: Waliochaguliwa kujiunga chuo kikuu cha Dodoma 2017/18

    Mkuu.. Speaking of mkopo kwa diploma.. Kuna kipnd flan ivi nliskiaga fununu kua kwa kozi za dplm zenye priority ya kitaifa kam vle sheria, utabibu, uhandisi n.k wafikiriwe kupewa mkopo! Iliishiaga wapi iyo kitu?!
  8. J

    Mada Maalum: Waliochaguliwa kujiunga chuo kikuu cha Dodoma 2017/18

    Dah nikweli.. Nlisoma ile clarification yao wamejitetea sana.. Ila atleast wameigawanya.. Imekua nafuu kdog kw akina mimi apa
  9. J

    Mada Maalum: Waliochaguliwa kujiunga chuo kikuu cha Dodoma 2017/18

    Jana nimeona wametangaza kua direct cost unaweza kulipa kwa semester.. Hii imesaidia sana
  10. J

    Mada Maalum: Waliochaguliwa kujiunga chuo kikuu cha Dodoma 2017/18

    Duh.. Username ulitumia iyo lakn?! Kam sio iyo ingiza ulotumia mwanz af jarb iyo paswd labd itakubal
  11. J

    Mada Maalum: Waliochaguliwa kujiunga chuo kikuu cha Dodoma 2017/18

    Yap.. Nliwapgia juz juma5 wakaniulza username nkawambia f4 indx no.. Wakanambia nianze na s ndog af paswd 12345.. Nlivojarib ikakubal
  12. J

    Mada Maalum: Waliochaguliwa kujiunga chuo kikuu cha Dodoma 2017/18

    Kama ulitumia username namba ya f4 anza na s ndog alaf paswd ingza 12345.. Jaribu hivyo
Back
Top Bottom