Habari zenu,
Nimerudi tena baada ya kutafuta ajira bila mafanikio . Mimi ni binti wa miaka 24 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu nina uhitaji mkubwa sana wa ajira au sehemu ya kujishikiza hata ya kujitolea nitashukuru .
Habari,
Mimi ni binti mwenye miaka 24 nimemaliza chuo mwaka huu course ya sheria nina uhitaji wa kazi yoyote hali ya kuniingizia kipato hata iliyo nje ya field yangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.