Recent content by JOXRICH

  1. JOXRICH

    Niagize gari Japan au ninunue used hapa hapa Tanzania!?

    Nafurahi kuona uzi ulitanuka. Na imani wadau mlifanya maamuzi sahihi kutokana na chochote kitu mlichojifunza katika uzi huu.
  2. JOXRICH

    Niagize gari Japan au ninunue used hapa hapa Tanzania!?

    Mkuu ni gari aina gani hiyo?
  3. JOXRICH

    Niagize gari Japan au ninunue used hapa hapa Tanzania!?

    Mkuu waliua huo mchezo maana watanzania wengi walikuwa wanatengenezewa Invoice fake zinazoonesha bei ndogo so Serikali haikuwa inakusanya mapato ya kutosha kama unavojua kodi inatengenezwa kutoka kwenye CIF Price, ndio maana wakabadilisha mfumo wakaestablish bei zao(CIF Price) kwa kila aina ya...
  4. JOXRICH

    Niagize gari Japan au ninunue used hapa hapa Tanzania!?

    Tatizo linarudi pale pale ubora wa magari na bei. Magari ya Japan wengi wanayapendelea kwasababu ya bei nzuri pamoja na ubora wake ndio maana yanaweza kudumu na kukidhi matumizi ya Tanzania. Sina uzoefu na magari ya South Africa ila sidhani kama yatakuwa na ubora kama ya Japan maana japan ni...
  5. JOXRICH

    Niagize gari Japan au ninunue used hapa hapa Tanzania!?

    Renyo mna gari zozote stock hapa tanzania au gari zote ni mpaka kuagiza Japan?
  6. JOXRICH

    Niagize gari Japan au ninunue used hapa hapa Tanzania!?

    Asante tena mkuu upo sahihi kabisa ni muhimu kuwa mwangalifu
  7. JOXRICH

    Niagize gari Japan au ninunue used hapa hapa Tanzania!?

    Ilikuwa gari gani mkuu? Asante
  8. JOXRICH

    Niagize gari Japan au ninunue used hapa hapa Tanzania!?

    Da Asia unapata gari hapa mjini kwa njia gani showroom au unanunua used kutoka kwa watu? Asante kwa mchango wako wa awali
  9. JOXRICH

    Niagize gari Japan au ninunue used hapa hapa Tanzania!?

    Kweli kabisa mkuu ukishaingia ndani hamna atakayejua kama umeagiza au umenunua hapa hapa nchini. Vipi mtazamo wako kwa suala la kununua gari mkononi mwa mtu hapa hapa nchini?
  10. JOXRICH

    Niagize gari Japan au ninunue used hapa hapa Tanzania!?

    Nimekusoma mkuu inaonekana una experience ya kutosha..Shukran sana
  11. JOXRICH

    Niagize gari Japan au ninunue used hapa hapa Tanzania!?

    Kwa gari lenye bei ya around 3500USD vipi unaweza kushusha kwa ngapi kwa makadirio yako
  12. JOXRICH

    Niagize gari Japan au ninunue used hapa hapa Tanzania!?

    Mkuu kwa experience yako wajapan kwenye negotiation ulifanikiwa kuwapangua kwa dollar ngap? Ili kuwaondoa wadau woga wa kuogopa bei wanazozionaga
  13. JOXRICH

    Niagize gari Japan au ninunue used hapa hapa Tanzania!?

    Sawa kabisa mkuu.. Cha maana ni courage tuuuuu
  14. JOXRICH

    Niagize gari Japan au ninunue used hapa hapa Tanzania!?

    Point nzur sana mkuu... Ila kwa maoni yangu taratibu au procedure za kuagiza magari Japan naona kama zimerahisishwa sana hivo ni rahisi hata kwa mtu wa kawaida kutumia huduma hii yeye mwenyewe ukikwama sehemu unaweza omba msaada na ukaendelea na zoezi la kuagiza wewe mwenyewe. Binadamu siku hizi...
Back
Top Bottom