Habarindugu zangu. Natumaini wote tup salama salimini. Mimi ni mkazi wa Moshi, Kilimanjaro ninaomba msaada wenu. ninatamani kuanzisha biashara ya nafaka. ninaomba tu msaada wa mtu yeyote kunipa muongozo ni vitu gani natakiwa kuanza navyo pamoja na makadirio ya kiasi cha mtaji ninao hitajika kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.