Recent content by Joshua P

  1. J

    JamiiForums Tanzania Msaada changamoto za Ukuaji wa mtoto wa kiume aliyekunywa maji machafu wakati wa kuzaliwa

    Ahsante sana, majibu ya mwisho aliyopewa hospital ni kuwa kwa umri wake hawawezi fanya upasuaji wowote hasa kuhusu hiyo chango. Pili, hii changamoto imewapata watu wengi tofauti tofauti ndio maana kushare ili kujua wao walisolve vipi maana kuna wengine wanasema dawa za asili za kutibu chango...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Msaada changamoto za Ukuaji wa mtoto wa kiume aliyekunywa maji machafu wakati wa kuzaliwa

    Habari wana JF shemeji yangu alijifungua mtoto wa kiume kwa upasuaji, inavyoelezwa ni kuwa mimba yake haikuwa na shida yeyote ila shemeji tu alikuwa hayupo strong enough na kushindwa kusukuma mtoto dakika za mwisho hali iliyopelekea ufanyike upasuaji haraka kuokoa uhai wa mtoto na mzazi...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Mwanamke Mgumba anayejielewa anahitajika awe na sifa hizi

    Hee kumbe wapo watu ambao hawataki mahusiano serious so wanataka kuchezewa na kuachwa au nimeelewa vibaya..?
  4. J

    JamiiForums Tanzania Mwanamke Mgumba anayejielewa anahitajika awe na sifa hizi

    Haya mambo yanahitaji utayari wa mtu dear
  5. J

    JamiiForums Tanzania Mwanamke Mgumba anayejielewa anahitajika awe na sifa hizi

    Ameen
  6. J

    JamiiForums Tanzania Mwanamke Mgumba anayejielewa anahitajika awe na sifa hizi

    SIjajua alikutana na nini kwa wachaga ndugu
  7. J

    JamiiForums Tanzania Mwanamke Mgumba anayejielewa anahitajika awe na sifa hizi

    Habari wanaJF Kichwa kimejieleza hapo juu ni jambo serious kwa huyu ndugu yetu kwani siku zote ukweli humweka mtu huru na amethubutu kuniweka wazi. Ni mjomba wa miaka 36 lakini amejikuta anapitia changamoto nzito sana katika mahusiano yake kisa matatizo yake ya uzazi(ugumba). Mimi sio...
  8. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahusiano kikwazo kwangu

    Habari wana JF Bila kupoteza muda nijikite moja kwa moja kwenye kilichonifanya kuandika yumkini nikapata ufumbuzi wa changamoto yangu. mwenzenu kuna kitu ambacho kimekuwa kikinisumbua miaka mingi sana japo kuwa mwanzoni nilikichukulia poa sana lakini kumbe nilikuwa nakosea. Once napoamua kuwa...
Back
Top Bottom