jamani habari zenu hasa wadada huu ni ujio wenu ,mimi ni mkaka mwenye miaka 32. Ni muhitimu wa ngazi ya shahada, afisa elimu ngazi ya sekondari kwa sasa, na nina imani ya juu ndani ya kristo yesu . Ni mweusi ila si saana , wastani tu na mwembamba kiasi.ni mrefu kiasi cha futi sita .
lengo langu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.