Shindano la kwanza nimeshiriki,la pili pia nimeshiriki,na hili la tatu nimeshiriki,huenda ndio likawa la mwisho kwangu,napenda kuwa karibisha kunipigia kura,lakini pia maoni yenu na ushauri,karibuni sana
Umaskini ni hali ya kukosa kumudu mahitaji ya msingi kwa binadamu,mfano Chakula,mavazi na malazi.
Janga hili kwa sehemu kubwa bado Lina ikumba bara la Africa,Mwalimu Nyerere,alisema "taifa lina adui watatu ambao wanapaswa kuwatokomeza ambao ni Ujinga,maradhi,na umaskini".Kwa kiasi kikubwa ujinga...
UTAWALA BORA NI HAKI KWA NCHI HURU
Utawala Bora ni mchakato wa kupima ni kwa jinsi gani taasisi za umma, zimeshughulika na Mambo ya umma kwa ufanisi na kutambua haki za binadamu na maadili ya kutotumia mamlaka vibaya kwa watumishi wa umma na kutojihusisha na vitendo vya rushwa na kuwepo...
Wazo limeenda shule bro,Safi sanà,kikubwa ikiwezekana wakuu watehama watoe elimu ngazi ya mtaa na vitongoji hii itasaidia watu kuelewa matumizi na faida ya mtandao katika ulimwengu huu wa kidijitali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.