Habari JF,
Mimi ni mwanafunz wa T.I.A ngazi ya diploma niliehtm 2022 campus ya Dar es salaam. Sasa mwaka huu niliapply Bachelor ya account hapohapo T.I.A but kwa bahat mbaya nikakosea kuweka chaguo la campus, badala niweke main campus ambayo ni Dar mimi nikaweka Mwanza.
Nilijitaidi sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.