"Atazamavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo"!
Usemi huu hauchukuliwi katika upana wake japo uhalisia wa maisha ya mtu huanzia katika fikra zake.
Watu wengi wameshindwa kufikia viwango flani vya kiuchumi wakiamini wao sio watu wa kaliba hiyo nakuamini waliofika hatua hizo ni watu baadhi tu...
Jamii nyingi za kiafrika zimekumbwa na matatizo mbali mbali katika familia kama:-
1: Ndoa kuvunjika
2: Baba kukimbia familia
3: Vijana kukataa mimba
4: Watoto kuugua magonjwa yatokanayo na ukosekanaji wa vyakula bora nk.
Ukosekanaji wa huduma bora katika familia hutokana na kukokuwepo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.