Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21.
Hivi karibuni nimekua nikisikia maumivu makali sana ya kiuno hasa nikiwa nimkaa. Au wakati wa kulala. Je, chanzo chake ni nini na je naweza pata tiba. [emoji120]
Ninaitwa joseph Msai mkazi wa mkoa wa Mara umri wangu ni miaka 22.
Nimehitimu elimu ya sekondari. Ninatafuta kazi kwa yeyote mwenye ajira anaweza nisaidia... Iwe ni shirika la mikopo au wakala wa pesa kidogo nina uzoefu. But kaz yoyote nipo tayali kufanya pia ni mazingira yyote.
Asanten.
Mimi ni kijan mwenye umli wa miaka 22 ninaomba mchngo/msaada wenu wadau katika upnde wa uandkaji wa barua ya maomb ya kazi. Barua znatofautiana kwa upnde wangu mimi barua ninayoinzngumzia ni barua ya maomb ya kazi katika kampuni/shirika linalojiusisha na utoaji wa mikopo.
Kitu kikubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.