Habari wana jamii forums naombeni msaada jamani mwenzenu nina tatizo sugu kuna vipele vinanitoka kwenye mkunjo wa mkono ni vidogodogo ila vinawasha sana na nikikaa bila kushiliki ngono vinapotea ila nikishiliki tena vinarudi nimeshatumia sana dawa za kupaka na baadhi ya vidonge.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.