Samahanini ndugu, naomba kuuliza vyuo vya afya vya serikali huwa wanatoa vyakula na malazi hapo hapo chuoni au wanafunz wanajitegemeaa. Kinginee hivi kwa diploma za afya na ualimu kwa vyuo vya serikali wanafunzi huwa wanapewa hela ya kufanyia field na serikali au ni kwa wenzetu wa degree 2...
Habarin ndugu, kwa walio chaguliwa ordinary diploma in clinical dentistry Tanga. Tufahamiane na kwa wakubwa zetu je hicho chuo ni kizuri kwa mazingira na hata elimu itolewayooo? Kwa mwenye uelewa jaman tusaidiane.
Kwa wenyeji kaka zetu na dada zetu mlio tutangulia kwenye masuala ya kielimu naombeni msaada.Mimi ni mgen kabisa hum.
Shida yangu ni kwamba nimechaguliwa chuo cha udaktari wa meno Tanga ngazi ya diploma in clinical dentistry nafasi ni thibitisha chuoni lakini tatizo ni join instruction form...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.