Kama uzi unavyojieleza ni kuwa nina ps4 slim yangu mpya ya kutoka china sasa kuna siku nimeamua ni sign in kwenye account yangu ya marekani sasa cha ajabu kila nikisign in inaandika "cannot use this account with this ps4" nimeshindwa kabisa kuelewa nimejaribu kucreate account mpya lakini...
alafu kingine kaka nimeona kwenye mtandao wa ps unaweza download game bila kuhusisha console yako kwa kutumia kifaa kingine kama vile computer lakini likaingia kwenye ps yako ebu apo nieleweshe kwa undani zaidi kaka
kwaio kaka ukiliweka kwenye ps4 yako hilo wwe k24 litakudai update mojawapo? na hizo patch utazitolea wapi au wao watakupa autommaatic uupdate cd ikiingia?
kwani code za amazon zina gharama nafuu kuliko kununua hapa bongo? na vipi thamani yake inaendana na thamani ya soko la dollar yaani kwa mfano redeem code ina thamani ya dollar 10$ ambapo thamani ya hela ya Tz ni shilingi 26451.25 , utatakiwa kuilipa hii hela au itaongezeka kidogo? na vipi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.