Wewe cyo mkulima .subiri tu tukuletee chakula .hacha wale wanaotaka kulima .mtu atakaye lima mihogo deal kubwa sn .hata gharama zake zote za kusafisha shamba zitarudi na faida juu .shamba linakubari sn mihogo
Ndiyo tatizo la wabongo wanawaza yaliyo hasi .watu wanakodisha mashamba na wanalima bila was2 wowote .watu wanakodi mashamba,wanasafisha shamba na kulima ,sasa hapa shida ni nn hasa ,??mtu nampa alime bure ??c kodishi ??tatizo nn hasa ??
Vinauza viwanja kibaha Town, vimepimwa na vipo karibu na hospital mpya halmashauri ya mji Kibaha, mtaa wa Lulanzi na siyo mbali sana toka stendi mpya ya mabasi ya mwendokas Kibaha au stendi ya mabasi ya mikoani.
Vina miundo mbinu ya barabara, umeme upo karibu na maji yapo karibu. Bei ni sh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.