anza kunitajia NGO'S zilizo fungiwa
Alaf Mm na valontia kwny kituo cha watoto yatima sijawahi kusikia habari ya kulipia kodi labda kituo gani ndugu huwa mnafanya hivyo
Kama watu wenye mapenzi na nchi yao hiyo ela kwa ajili ya kununua basi wangechangia TASAF uwasaidie maskini au kama hawana imani na taasisi za kiserikali wametoa kwny NGOs zinazo fanya kazi na jamii kwa ukaribu
Ila mbongo ni kama Waafrika wengine na akili zetu zinafanana kwa sababu sisi wote...
Habarini wandugu!!!
kama nilivyoandika kwenye title! Nahitaji printer inayo weza tumika kwaajili ya biashara
printers iwe vigezo vifuatavyo
1 iwe laserjet printer
2 iwe colored
3 iwe na uwezo wa kuprint karatasi yenye grammate kubwa aina ya silk, mate na Glossy pia na karatasi za kawaida
4...
Habarini wandugu!!!
kama nilivyoandika kwenye title! Nahitaji printer inayo weza tumika kwaajili ya biashara
printers iwe vigezo vifuatavyo
1 iwe laserjet printer
2 iwe colored
3 iwe na uwezo wa kuprint karatasi yenye grammate kubwa aina ya silk, mate na Glossy pia na karatasi za kawaida
4...
bado sijakuelewa umeongea nae mwakyembe kama rafiki au kama mwandishii wa habari? najinsi ulivyo andika inaonyesha kwambaa umeandikaa taarifa kamaa mwandishi wa habarii kwa mazungumzo ya kirafiki au ya kawaida ambayo siku zote ni yasiri haikutakiwaa wewe kuongea hivyoo au kuandika kama...
kila mtu anahaki ya kuingia chama cha siasa anacho taka usanii au kazi unayo fanya haziwezi kuwa kizuizi cha kutimiza haki zako za kiraia lakin tatizoo wengii tumetekwa akili na siasa mbovu tunalazimishana kuamin vitu visivyo wezekana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.